Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. same old same! anything new?
    possible issues to sing about
    corruption, drug problems, unemployment, human rights, in humane treatment of women and children and vitambi kwa wanasiasa.
    Does it have to be about women/girls love and sex?

    ReplyDelete
  2. Wewe #01 nakubaliana na wewe ila sisi wenyewe sokoni ndiyo tunapenda hizo nyimbo(Jiulize ni kwanini?)Wakipiga nyimbo ulizozitaja wanadai "haziuziki'(Zipo ila si nyingi).Ni tatizo kubwa kweli kweli katika jamii.

    Msanii anaweza kutoa kibao cha mapenzi lakini kikawa na ujumbe mzuri tu.Mfano kuna kijana anaitwa SHETA FT RICH MAVOKO ametoa single inaitwa Sina Raha/Sina Imani(usilete Ukimwi nyumbani).Msanii anaongelea ugonjwa wa hatari UKIMWI.Wimbo mzuri,ujumbe mzuri.Ni ubunifu tu

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...