Ilikuwa inaongozwa na Super woman Joyce Kiria, safari hii inarudi ikiwa na watangazaji wapya kabisa. Je, unawafahamu? Usikose kuiona studio mpya full red carpert. Kauli mbiu ya msimu mpya ni WASANII TUWE MIFANO BORA KATIKA JAMII.
 Unachotakiwa kufanya ni kuendelea kutazama luninga yako kupitia kituo bora cha vijana Ting'a namba moja EATV hivi karibuni Bongo Movies inatua tena. 
Yes, ni very SOON! Tuwe pamoja katika kuhakikisha tunanyanyua na kuendeleza tasnia ya sanaa na wasanii hapa nchini. Bongo Movies, inachonga barabara, wengine wanafuata!
 Msanii Pastor Myamba akiwa na crew ya Bongo Movies wakionesha alama ya 5 kama ishara ya kutua EATV hivi karibuni.
 Msanii anayefanana na marehemu Kanumba Lutazwa akiwa na crew ya Bongo Movies
Lutazwa, Selina na Hagai

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Lol, Bongo joto kali sana naona wasanii wameloa kweli kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...