Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akikabidhi moja ya vifaa tiba kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dk.Noman Sigalla.
Naibu waziri wa Afya Dk Seif Rashid akimkabidhi moja ya mashine ya
kusaidia watoto wachanga matroni Mary Mlay aliyemwakilisha mkuu wa
mkoa wa Tanga katika hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid akizungumza katika hafla ya kukabidhi vifaa tiba vitakavyotumika katika vituo vya kutolea huduma vinavyohudumia wanufaika wa mradi wa akina mama wajawazito unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Watu wa Ujerumani (KfW) kwa kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF).
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akitoa maelezo ya Mradi wa KfW unaoendeshwa kwa ushirikiano wa Benki wa Watu wa Ujerumani na NHIF.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...