Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (wa pili kulia) akisisitiza jambo wakati wa ziara yake katika shamba la Mkulazi lililopo katika kata ya Mkulazi mkoani Morogoro Alhamis wiki hii. Wengine ni Meneja Kitengo cha Ardhi kutoka Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bw. Desiderius Narwango (kushoto) Mkurugenzi wa Huduma wa TIC, Bi. Nakuala Senzia (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro vijijini, Bw. Said Amanzi (wa pili kushoto).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (wa pili kulia) akimsikiliza Meneja Kitengo cha Ardhi kutoka Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bw. Desiderius Narwango (kushoto) wakati wa ziara katika shamba la Mkulazi lililopo katika kata ya Mkulazi mkoani Morogoro Alhamis wiki hii. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma wa TIC, Bi. Nakuala Senzia na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro vijijini, Bw. Said Amanzi (wa pili kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...