Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (wa pili kulia)
akisisitiza jambo wakati wa ziara yake katika shamba la Mkulazi lililopo katika kata ya Mkulazi
mkoani Morogoro Alhamis wiki hii. Wengine ni Meneja Kitengo cha Ardhi kutoka Kituo cha
Uwekezaji Nchini (TIC), Bw. Desiderius Narwango (kushoto) Mkurugenzi wa Huduma wa TIC,
Bi. Nakuala Senzia (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro vijijini, Bw. Said Amanzi (wa pili
kushoto).
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (wa pili kulia)
akimsikiliza Meneja Kitengo cha Ardhi kutoka Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), Bw. Desiderius
Narwango (kushoto) wakati wa ziara katika shamba la Mkulazi lililopo katika kata ya Mkulazi
mkoani Morogoro Alhamis wiki hii. Kulia ni Mkurugenzi wa Huduma wa TIC, Bi. Nakuala Senzia
na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro vijijini, Bw. Said Amanzi (wa pili kushoto).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...