Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Peter Ngota (kushoto), akikabidhi zawadi ya mwaka mpya kwa Bi. Stella Mwambenja (kulia), afisa toka moja ya vituo vilivyopata zawadi ya mwaka mpya, KIWOHEDE, jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu Idara ya Fedha katika kampuni hiyo, Bw. Alinanuswe Mwakitalima.
Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Peter Ngota (kushoto), akikabidhi zawadi ya mwaka mpya kwa Bi. Chantal Bwami (wa tatu kulia), afisa toka kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Msongola jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kushoto ni Kaimu Afisa Mkuu Idara ya Fedha katika kampuni hiyo, Bw. Alinanuswe Mwakitalima na Bw. Deusdedti Alphonce (wa kwanza kulia), pia toka katika kituo hicho.
Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Bw. Peter Ngota (kushoto), akishuhudia wakati wa kukabidhiwa zawadi za mwaka mpya kwa Bw. James Zakaria (kulia), afisa toka kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Salvation Army jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Kaimu Afisa Mkuu Idara ya Fedha katika kampuni hiyo, Bw. Alinanuswe Mwakitalima.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...