Mtoto Martina Chambiri akiimba wimbo wa "Tanzania nchi yangu yapendeza" kwa Kitaliani mwaka 1996 huko Italia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mjomba sasa fanya mpango tujue huyu matilda kwa sasa yuko wapi na anafanya nini?natanguliza shukrani na kuomba globu ya jamii ifanye kazi.

    Ni mjomba kisiki, baba yake mdogo Kokoto toka Lindi.

    Naomba kuwakilisha

    ReplyDelete
  2. Michuzi, nimefurahi sana kuweka wimbo huu. Nimefuatilia sana kujua kama alitoa CD au DVD lakini naona hawakutoa. Katika wakati huu wimbo huu ungesaidia sana kurudisha moyo wa uzalendo. Ndiyo nyimbo zingekuwa zinaimbwa na watoto mashuleni...

    ReplyDelete
  3. Let us not dwell on our differences, but cherish on our similarities, and this is one of the beautiful examples. Mtoto mpingo-mgongo na wenzake wanaimba mwimbo kuipigia debe bongoland, awesome.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...