Wachezaji wa timu ya Panone FC ya mkoani Kilimanjaro wakipasha misuli joto kabla ya mchezo wao wa kukamilisha ratiba dhidi ya waliokuwa mabingwa wa mkoa watetezi timu ya Machava Fc.
Wachezaji wa timu za Panone fc na Machava fc wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo wao wa kukamilisha ratiba.
Wachezaji wa Panone fc wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mchezo.
Wachezaji wa timu ya Machava fc wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa mchezo.
Waaamuzi wa mchezo huo tayari kwa kuanza pambano.
Benchi la ufundi lilikuwa Busy wakati wa mapumziko kuhakikisha vijana wanatoka na ushindi
Machava fc kwa upande wao pia waliweka mikakati ya ushindi.
Mgeni rasmi katika mpambano huo afisa michezo wa mkoa wa Kilimanjaro Anthony Ishumi akzungumza na timu zote mbili wakati wa mapumziko
Vijana wakambana kufa na kupona.
Hadi dakika 90 za mwamuzi Nathan zinamalizika ubao ulisomeka Panone fc 1 Machava fc 0.
Zikatolewa medali kwa wachezaji.
Wakatawazwa mabingwa wapya wa mkoa wa Kilimanjaro na kukabidhiwa kikombe cha Ubingwa.


Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MHESHIMWA RAIS KABLA HIJAMALIZA MUDA WAKO. TUOMBA UTUACHIE NA WEWE UWANJA MPYA WA MICHEZO WA KISASA. HII IWE NDIO SERA YA MARAIS WETU. KILA RAIS AJENGE UWANJA WALAU MMOJA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...