Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania
(TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto
wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha
kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa
zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania
Women Of Achievement(TWA)
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA)
Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa
mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha Kigamboni(Chawawaki) pembeni
yake ni Bi. Margaret Chacha Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake
Tanzania na Bi. Hellen Kiwia Katibu Mkuu wa Taasisi ya TWA.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania
(TWB) Bi. Margaret Chacha akifurahia jambo na Katibu mkuu wa Tanzania Women Of
Achievement(TWA) Bi. Hellen Kiwia wakati mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa
kwenye kituo cha Chawawaki Kigamboni.
Bi Blandina Sembo akiongea na kinamama wa Chawawaki
Mshauri nasaha na mtoa mafunzo wa CCBRT Bi. Mgaya Mhamanda na Bi Suzane Mrema wakiongea na kinamama hao.
Kinamama wa Kituo cha watoto wenye ugonjwa wa
mtindio wa ubongo na mgongo wazi wa Kigamboni(Chawawaki) wakimsikiliza
Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake (TWB)Bi. Margaret Chacha(hayupo
pichani)wakati wa mafunzo ya ujasiriamali yaliyoandaliwa na Taasisi ya Tanzania
Women Of Achievement(TWA).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...