Mjumbe wa Bodi ya Utendaji wa Kituo cha Ushirikiano wa kilimo
na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karebiani na Pasifiki
(CTA), Profesa
Faustin Kamuzora akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo ya wiki
moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii kwa wadau
toka taasisi mbalimbali nchini jana jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yanaendeshwa na CTA na Taasisi
ya Nafaka ya
Afrika ya Mashariki (EAGI).
Home
Unlabelled
mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...