Modesta Joseph, mwananfunzi wa Kisutu Sekondari Dar es Salaam akipeana mkono wa pongezi na hati ya fedhana John Mngodo, Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia baada ya kushinda tuzo ya ubunifu wa TEHAMA wa kuwawezesha wananfunzi kuwasilisha kero zao za usafiri kutumia TEHAMA kwa Taasisi ya EWURA.

 Mgimba Faustine akipokea tuzo ya fedha taslimu kutoka kwa Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia baada ya kushinda Tuzo ya Wabunifu wa TEHAMA ya kuwawezesha wateja kutumia simu ya mkononi kubaini bidhaa feki. Anayeshuhudia katikati ni Naibu Balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Simo-Pekka Parviainen na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia Dkt. Hassan Mshinda
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia akimpatia Japhet Sekenya tuzo ya wabunifu wa TEHAMA kwa kutengeneza mtindi kwa kutumia karanga na unaoweza kutibu magonjwa mbali mbali ya binadamu kama vile vidonda tumboni, kuzuia saratani. Wa tatu kulia Naibu Balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Simo-Pekka Parviainen akishuhudia tukio hilo pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH (Wa pili kulia), Dkt. Hassan Mshinda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...