LAPF inawakaribisha wana mtwara kutembelea banda lao ili waweze kupata huduma mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufahamu juu ya huduma mpya zinazotolewa na LAPF kama vile mkopo wa kujikimu, Mafao ya Uzazi na mkopo wa elimu.

Pia wanachama watapata fursa ya kuangalia taarifa za michango yao, kujiunga LAPF na kupata vitambulisho.

Katika picha ni maafisa wa LAPF wakitoa huduma kwa wanachama waliotembelea banda hilo.
 Wananchi wa Mtwala wakitembelea maanda ya mfuko wa pensheni wa LAPF, Mtwara.
Wananchi wakipata maelekezo walipotembelea banda la  mfuko wa pensheni wa LAPF walipohudhuria maadhimisho ya wiki ya serikali za mitaa Mtwara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...