MTANGAZA NIA YA UDIWANI GODFREY BENJAMIN KEHOGO.

KERO ZINAZOKABILI KATA YA MTONI
Ø  Huduma hafifu za afya.
Ø  Viwanja vingi vya michezo kuingiliwa.
Ø  Ukusanyaji wa kodi usioridhisha katika masoko na sehemu husika.
Ø  Uchafu ( mitaa na maji taka).
Ø  Miundombinu isiyoridhisha ( barabara, mitaa, majengo ya shule zetu)
Ø  Ajira.
Ø  Ugumu wa upatikanaji mikopo hasa kwa watu wasio na ajira rasmi na dhamana ( vijana na wanawake).
Ø  Kutothamini vipaji haswa za vijana na watoto.
Ø  Ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kupanga mipango ya maendeleo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2015

    Tupe mikakati utakayotumia katika kutatua kero hizi na sio kuziorodhesha tu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2015

    you seems to be an Adventist youth men?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...