Wasomi wamchambua Dr. John Magufuli undani wa habari hii inapatikana katika magazeti ya leo  Octoba.31.2015; https://youtu.be/DrYYX3PzFiY 

Simba yaitega Azam, Mbeya City wamefanya kweli. Ndivyo gazeti  la Mwanaspoti linavyojinadi katika kurasa zake siku ya leo; https://youtu.be/ljShGJxMUo0

Magufuli awapasha wanafiki,  Vijana wa UKAWA waachiwa kwa dhamana, Tume ya uchaguzi yamaliza kazi rasmi. Pitia dondoo za magazeti; https://youtu.be/iZRIy7ugwsI

35 waliochoma maboksi ya kura Mbagala Kortini. Pata habari za kina zilizopewa kipaumbele katika magazeti hapa Simu.tv; https://youtu.be/GX8dtQr8QNQ

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...