Hatimaye maafisa ardhi 10 waliotupwa rumande na mkuu wa wilaya ya Kinondoni baada ya kuchelewa kazini,waanza rasmi kazi yao leo. https://youtu.be/7TM2U2RM1fE

Makamo wa Rais Bi.Samia Suluhu awataka wanawake nchini kushirikiana katika masuala ya kuwaletea maendeleo badala ya kuendekeza tabia isiyofaa ya kubezana. https://youtu.be/sRA9B8U6z9I

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga marufuku biashara holela za vyakula, matunda , pombe za kienyeji, maji ya viroba pamoja na juice lengo likiwa ni kutokomeza ugonjwa wa kipindupindu. https://youtu.be/jTQzo3-x_q4

BOFYA HAPA KUONA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...