Serikali imezindua bodi ya usimamizi wa miundombinu ya reli nchini yenye wajumbe 8 itakayo jihusisha na usimamizi na uangalizi wa miundombinu.https://youtu.be/EYQxEBqN5ao

Wakazi wa Moshi mkoani Kilimanajaro wamtaka raisi mteule kutekeleza ahadi zake alizoaahidi kipindi cha kampeni. https://youtu.be/PJajLOlGUAY
Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) waitaka serikali ya Zanzibar kuunda tume huru ya uchunguzi wa zabuni za upatikanaji wa zabuni za vifaa vya uchaguzi.https://youtu.be/CSh7KkatLwA

Wananchi wilayani Meatu watakiwa kuweka tofauti zao pembeni na badala yake washirikiane katika kuijenga Tanzania kwa uchaguzi umekwisha.https://youtu.be/L74yNDjcVzE

Tanzania yaelezwa kuendelea kukumbwa na tatizo la watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi huku mikoa kadhaa ikiongoza. https://youtu.be/JXgsweRmvt4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...