Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja   ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Hatunywi sumu, hatujinyongi! Psychiatrists wa bongo watakuwa busy saana, maana depression, anxiety, acute stress reaction, acute psychosis etc. Zitakuwa nyingi sana kwa sasa,

    ReplyDelete
  2. Kila jambo lina maana yake na maisha lazima yaendelee kwahiyo ondoa shaka mdau usije ukafa siku si zako!

    ReplyDelete
  3. Nchi ilishafika pabaya ya uzembe na ufisadi. Ili kuifufua nchi kila siku inabidi kutumbua hata majipu mawili hivi. Na siku pakiwa hakuna jipu limepigwa mwiba basi nahisi fisadi kapewa siku ya bure.

    ReplyDelete
  4. Aliyekuambia mdau ana shaka ni nani, acha hizo waingereza wanaziita " asinine assumptions", mdau wa kwanza katoa facts, pengine ulikuwa hujazaliwa wakati wa azimio la Arusha.

    ReplyDelete
  5. Mtakoma ubishi, sasa kama hamna shaka kutuambia kwamba Counselors wetu watakua busy coz of majipu? Sio tu Azimio la Arusha palikuwepo, operesheni vijiji,opersheni utamaduni,operesheni funga mikanda, operesheni maduka,operesheni uhujumu uchumi........ na vyote vilipita hapakuwepo na rekodi hiyo unayoiota mdau..!

    ReplyDelete
  6. Wee mdau hapo juu; mwogope mungu wako, eti enzi za azimio la Arusha ulikuwepo??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...