DR. ELIEZER KWEGRY FINEHAS CHIDUO
09/09/1950 - 26/12/2015
Familia ya Marehemu Dr Eliezer Finehas Chiduo wa Chuo kikuu cha Dsm wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa wote walioshirikiana nao kwa namna moja au nyingine kwenye kipindi kigumu cha msiba na kuhitimisha safari ya mwisho ya baba yao mpendwa Dr Eliezer Finehas Chiduo kilichotokea tarehe 26/12/2015.
Shukrani za dhati kwa Wachungaji wa kanisa la Umoja la Chuo kikuu cha Dsm kwa kuendesha ibada ya kumuaga Dr Chiduo na Kanisa la Aglicana Magubike Kilosa Morogoro kwa kuendesha ibada ya mazishi. Madaktari, Wauguzi wa Hospitali ya Muhimbili na Marie Stopes Kwa Jitihada zao za kuokoa Maisha ya Dr Eliezer Chiduo.
Kwa namna ya Pekee familia inatoa shukrani za dhati kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki Wote, Uongozi, Wafanyakazi na wanachuo wa Chuo kikuu cha Dsm, BAKITA, Manispaa ya Kinondoni, Bank M, Majirani wa Chuo Kikuu Cha Dsm, Mbezi Msakuzi, Kikundi cha maombi cha Ebenezer na Wanakijiji wote wa Magubike Kilosa Morogoro kwa huduma zote walizozitoa kipindi Cha Msiba.
Kwa vile si rahisi kuwataja wote kwa taarifa hii, Tunawaomba wote mpokee Shukrani zetu za dhati kwa Moyo wa Upendo.
Shukrani yetu kubwa ni kwa Mungu Mwenyezi kwa kutupatia zawadi ya maisha ya Dr Chiduo hapa duniani na tutaishangili azawadi hii kwa kumsifu na kumtukuza Mungu siku zote za maisha yetu.
Tunapenda kuwakaribisha wote kwenye Misa ya Shukrani itakayofanyika Kanisa la Umoja (CCT Chaplains) Ukumbi wa Yombo Five(5) Chuo Kikuu Cha Dsm, Jumapili ya Tarehe 07 February 2016 saa 1 :00 asubuhi.
“Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu kristo; atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufananana mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake “Wafilipi 3:20-21
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE APUMZIKE KWA AMANI...
AMINA.
09/09/1950 - 26/12/2015
Familia ya Marehemu Dr Eliezer Finehas Chiduo wa Chuo kikuu cha Dsm wanapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa wote walioshirikiana nao kwa namna moja au nyingine kwenye kipindi kigumu cha msiba na kuhitimisha safari ya mwisho ya baba yao mpendwa Dr Eliezer Finehas Chiduo kilichotokea tarehe 26/12/2015.
Shukrani za dhati kwa Wachungaji wa kanisa la Umoja la Chuo kikuu cha Dsm kwa kuendesha ibada ya kumuaga Dr Chiduo na Kanisa la Aglicana Magubike Kilosa Morogoro kwa kuendesha ibada ya mazishi. Madaktari, Wauguzi wa Hospitali ya Muhimbili na Marie Stopes Kwa Jitihada zao za kuokoa Maisha ya Dr Eliezer Chiduo.
Kwa namna ya Pekee familia inatoa shukrani za dhati kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki Wote, Uongozi, Wafanyakazi na wanachuo wa Chuo kikuu cha Dsm, BAKITA, Manispaa ya Kinondoni, Bank M, Majirani wa Chuo Kikuu Cha Dsm, Mbezi Msakuzi, Kikundi cha maombi cha Ebenezer na Wanakijiji wote wa Magubike Kilosa Morogoro kwa huduma zote walizozitoa kipindi Cha Msiba.
Kwa vile si rahisi kuwataja wote kwa taarifa hii, Tunawaomba wote mpokee Shukrani zetu za dhati kwa Moyo wa Upendo.
Shukrani yetu kubwa ni kwa Mungu Mwenyezi kwa kutupatia zawadi ya maisha ya Dr Chiduo hapa duniani na tutaishangili azawadi hii kwa kumsifu na kumtukuza Mungu siku zote za maisha yetu.
Tunapenda kuwakaribisha wote kwenye Misa ya Shukrani itakayofanyika Kanisa la Umoja (CCT Chaplains) Ukumbi wa Yombo Five(5) Chuo Kikuu Cha Dsm, Jumapili ya Tarehe 07 February 2016 saa 1 :00 asubuhi.
“Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu kristo; atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufananana mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake “Wafilipi 3:20-21
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE APUMZIKE KWA AMANI...
AMINA.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...