Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk Charles Kimei (kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu Serikali kuhamishia akaunti zote za mapato Benki Kuu (BoT). Kimei ameunga mkono hatua hiyo na kuwataka wananchi wasiwe na hofu.


 Dk Kimei akitafakari jambo

Mkurugenzi wa Utafiti, Masoko na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa akiwaruhusu wanahabari kuuliza maswali wakati wa mkutano huo.Wengine ni Mkurugenzi wa Hazina wa CRDB, Alex Ngusaru na Philip Alfred ambaye ni Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa benki hiyo.  PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...