Mafundi wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Bagamoyo kipande cha kilometa 4.3 cha Mwenge – Morocco, leo jijini Dar es Salaam, ambayo ni kutekeleza agizo la Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Scavertor kikichota undongo na kupakia katika magari kwenye barabara ya Mwenge hadi Morocco kwa kuongeza njia mbili za lami leo jijini Dar es Salaam.
Fundi akitoa maelekezo kwa mwendasha Scavertor katika barabara ya Mwenge hadi Morocco kwa kuongeza njia mbili za barabara za lami leo jijini Dar es Salaam ikiwa ni matumizi ya Fedha za Uhuru zilizoagizwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kutengeneza Barabara hiyo.
(Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya jamii).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...