Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akisalimiana na wananchi katika Uzinduzi wa Wiki ya Sheria nchini uliofanyika katika kituo cha daladala cha kabwe jijini mbeya.
kutoka kulia ni Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu Kanda ya Mbeya, Jaji Noel Chocha akimpongeza Mkuu wa Mkoa Mh.Abbas Kandoro Shoto wakati alipo kuwa akizungumza na Wananchi wa Jiji la Mbeya hawapo pichani juu ya Mafunzo ya Sheria yaliyo anza kutolewa Sehemu mbalimbali za Mkoa wa Mbeya.
Baadhi ya Wanasheria na Mahakimu wa Mahakama za Mkoani Mbeya wakiwa katika uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya sheria nchini iliyozinduliwa kimkoa katika Stendi ya daladala Kabwe jijini Mbeya
Baadhi ya wananchi wakifuatilia uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya sheria nchini yaliyofanyika leo katika kituo cha daladala cha Kabwe jijini Mbeya. PICHA NA MR.PENGO MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...