Mkurugenzi Mkuu wa UTT AMIS Dk. Charles Kibola (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Idara ya Masoko ya Kampuni hiyo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, mwishoni mwa wiki.
Ofisa Masoko Mwandamizi wa UTT AMIS, Martha Mashiku (katikati) akitoa elimu juu ya Uwekezaji wa Pamoja kutoka Kampuni ya UTT AMIS.
Baadhi ya wabunge na wafanyakazi wa bunge wakipata elimu juu ya Uwekezaji wa Pamoja kutoka Kampuni ya UTT AMIS.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...