Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) akisisitiza jambo wakati wa maongezi na Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing (wa pili kutoka kulia) alipomtembelea ofisini kwake mapema leo.
Ujumbe kutoka ubalozi wa China nchini ukimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (hayupo pichani) ulipotembelea ofisini kwake mapema leo.

Mwakilishi Mkazi Mwandamizi kutoka Kitengo cha Uchumi na Biashara, Ubalozi wa China nchini Tanzania Bw. Lin Zhiyong (wa pili kutoka kushoto) akizungumza baada ya kikao kati ya Ujumbe kutoka ubalozi wa China nchini na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) kilichofanyika ofisi za Utumishi mapema leo.
Balozi wa China nchini Tanzania Dkt. Lu Youqing (wa pili kutoka kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angellah Kairuki (Mb) (kulia) alipomtembelea ofisini kwake mapema leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera mh. Waziri. Lakini naona hao wachina wana note books. Wanaandika. Wako makini. Naamini hata wewe ulikuwa nayo. Tunategemea kupata taarifa kilichojadiliwa. Hongera.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...