Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. Dianna Melrose alipomtembelea ofisini kwake leo (17/3/2016) jijini Dar Es Salaam kwa mazungumzo.
Balozi wa Uingereza nchini Mhe. Dianna Melrose akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe wakati balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake kujadiliana masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya sheria nchini.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...