Meneja wa taasisi ya Bhubesi ya nchini Uingereza, (BPF), ambayo kwa sasa inaendesha mafunzo ya kuunyanyua mchezo wa Raga (Rugby), sambamba na kusaidia jamii pamoja na maendeleo mashuleni na kwenye vituo vya kijamii, Mark Cole, (kushoto), akinyunyuzia maji kwenye mti alioupanda kwenye shule ya msingi Hananasif ya jijini Dar es Salaam, Machi 18, 2016. BPF kwa kushirikiana na kampuni ya ulinzi ya kimataifa ya G4S ya jijini Dar es Salaam, wameendesha mafunzo hayo kwa muda wa siku tano kwa shule sita za jijini na Jumamosi hii Machi 19, 2016 wanafunzi walioshiriki kwenye mafunzo hayo watashindana katika bonanza kubwa litakalofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mapambano, Sinza jijini. Anayeshuhudia mwenye kapelo, ni Mkuu wa kitengo cha Mauzo na Masoko cha G4S, Alfred Elia. (Picha na K-VIS MEDIA/Khalfan Said)
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakiwa kwenye mafunzo ya mchezo wa raga, Machi 18, 2016.
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakiwa kwenye mafunzo ya mchezo wa raga, Machi 18, 2016.
Wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakiwa kwenye mafunzo ya mchezo wa raga, Machi 18, 2016.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...