Katika pitapita leo, Kamera ya Globu ya Jamii iliinasa Taswira hii ya Mdau akisaka makopo ya maji kunywa yaliyotumika, katika moja ya mtaro uliopo eneo la Kinondoni Shamba jijini Dar es salaam, tayari kwa kwenda kupima na kuuza ili apate chochote kitu cha kusogeza siku. Biashara hii imekuwa maarufu sana katika maeneo mengi hapa mjini, vijana wengi wamejitoa kweli kweli kwenye shughuli hii. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naam! Kazni ni kazi, almuradi iwe ni kazi ya halali na kujituma kwa jasho lako almuradi mkono upate kwenda kinywani. Hongera sana kijana na MOLA azidi kukufanyia wepesi zaidi katika kutarazzaki kwako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...