Watendaji wa Taasisi zilizochini ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar wakimpokea na kumkaribisha kuanza kazi Ofisini kwake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi baada ya kuteuliwa tena na Rais wa Zanzibar kuendelea kushika wadhifa huo katika kipindi cha Pili cha Awamu ya Saba.
 Katibu wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Abdullah Ali Abdullah { Kitole } aliyeinama akinong’onezana kitu na Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Nd. Ahmad Kassim kwenye hafla ya kupokea Balozi Seif kuanza rasmi majukumu yake Vuga Mjini Zanzibar.
  Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Nd. Ahmad Kassim akimpongeza Balozi Seif kutokana na juhudi zake zilizopelekea watendaji wa ofisi yake kupata mafanikio makubwa ndani ya kipindi cha uongozi wake wa miaka mitano iliyopita.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwashukuru watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi yake baada ya kufanyakazi pamoja atika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...