Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati Dk. Juliana Pallangyo
(pichani) akifungua mkutano unaoshirikisha wakurugenzi wa mashirika ya umeme
katika nchi zilizopo kusini mwa Afrika zinazoshirikiana katika biashara ya
umeme.
Sehemu
ya watendaji na wakurugenzi wa mashirika ya umeme katika nchi zilizopo kusini
mwa Afrika zinazoshirikiana katika biashara ya umeme, wakifuatilia hotuba
iliyokuwa inatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk.
Juliana Pallangyo (hayupo pichani).
Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia masuala ya nishati, Dk. Juliana Pallangyo
(kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Mhandisi Decklan
Mhaiki (kushoto) wakifuatilia maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mwenyekiti wa
kamati ya nchi za kusini mwa Afrika zinazoshirikiana katika biashara ya umeme, Josh Chifamba (hayupo pichani)
Mwenyekiti
wa kamati ya nchi za kusini mwa Afrika zinazoshirikiana katika biashara ya
umeme, Josh Chifamba (kulia) akimkabidhi zawadi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini anayeshughulikia
masuala ya nishati, Dk. Juliana Pallangyo (kushoto) aliyekuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa mkutano huo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...