Mama wa mitindo Asya Idarous Khamsin akiwasili uwanja wa ndege wa Seattle jimbo la Washington tayari kuwasha moto kesho kwenye Tanzania Red Carpet huku vionjo vya muziki vikiungurumishwa na Dj Haroub "Kenwood" onesho litafanyika 15901 West Valley Hwy, Tukwila, WA 98188

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...