COMBINE HARVESTER ipo madhubuti sana na ina hali nzuri, na inafanya kazi vizuri sana. Ni ya kutoka Denmark na haijatumika hapa Tanzania. Kama wewe ni mkulima isikupite hii... mashine ipo MBWENI Daresalaam.
BEI NI MIL..34 TSH.
Tuwasiliane 0714242879 au 0713676035



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...