Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limefanya mkutano wake mkuu katika hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga, huku mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza akiwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano huo utakaomalizika kesho kwa shughuli ya uwekaji jiwe la msingi katika eneo la kukuzia vipaji mjini humo.
Home
Unlabelled
Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) jijini Tanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...