Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe alipomtembelea ofisini kwake mapema leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman alipomtembelea ofisini kwake leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...