Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe alipomtembelea ofisini kwake mapema leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) Bi. Maniza Zaman alipomtembelea ofisini kwake leo (14/3/2016) jijini Dar Es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...