Makatibu Wakuu kutoka Wizara tofauti wakihudhuria mafunzo ya ‘Warsha ya Usimamizi wa Vihatarishi na Udhibiti wa Ndani’ (Risk Management and Internal Control Systems Workshop) yaliyoandaliwa kwa ajili ya Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu na Taasisi ya UONGOZI tarehe 8 mpaka 9 Machi 2016 Dar Es Salaam.
   Mwezeshaji akiongoza kipindi cha maswali na majibu kwa Makatibu Wakuu baada ya kuwasilisha mada yake.
Baadhi ya Makatibu Wakuu wakishiriki kwenye mijadala ya mafunzo hayo kwa kusikiliza kutoka kwa Wawezeshaji tofauti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...