Familia ya Bwana Mathew Chando wa Mikocheni Regent Dar es salaam inasikitika kutangaza kifo cha Baba yao mpendwa mzee Mathew Chando kilichotokea tarehe 15/03/2016 huko  Regent Estate mtaa wa Chato  Dar es salaam.

Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Jumamosi tarehe 19/03/2016 saa 9 alasiri katika makaburi ya Kinondoni Dar es salaam na yatatanguliwa na ibada ya mazishi itakayofanyika katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Msasani Dar es salaam kuanzia saa 7 mchana.

Habari ziwafikie ukoo wote wa Mathew Chando,ndugu,jamaa na marafiki popote pale walipo. msiba uko nyumbani kwa marehemu Regent estate mtaa wa chato dar es salaam.

"Yesu akwambia,mimi ndimi huo ufufuo na uzima. Yeye aniaminiye mimi,ajapokufa,atakua anaishi". Yohana 11:25.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...