Col. Gervase Mang'wen'gula wa  makao makuu ya jeshi la wananchi Tanzania anasikitika kutangaza kifo cha mpendwa Mkewe Easter Mang'wengula kilicho tokea usiku wa kuamkia jana (29/3/2016) katika Hospitali ya Tumbi Kibaha.

Mazishi yatafanyika siku ya Ijumaa nyumbani kwa marehemu Kwa matiasi barabara ya Nyumbu kuanzia saa Saba mchana.

Habari ziwafikie Maofisa wote wa Jeshi la Wananchi Tanzania, askari wote wafanyakazi wa nyumbu, ndugu majirani na marafiki wa familia ya marehemu

BWANA AMETOA JINA LAKE LIHIMIDIWE AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...