Ofisa Biashara Manispaa ya Temeke, Johnson Makaranga akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa ucagzi wa Cham cha Wafanyabiashara Wenyeviwanda na Kilimo (TCCIA), uliofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti aliyechaguliwa kwa kipindi kingine, Paul Koyi.
 Baadhi ya wanachama wa Chama cha Wafanyabiashara Wenyeviwanda na Kilimo (TCCIA), wakiwa katika mkutano huo mkuu wa uchaguzi.
Msimamizi wa mashine za malipo kwa njia ya elektroniki za EFD katika Mamlaka ya Mapato (TRA) Temeke, Kenneth Sawaya akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Chama cha Wafanyabiashara Wenyeviwanda na Kilimo (TCCIA). 

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...