Sehemu ya viroba feki tani 3 ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla, Mkuu wa wilaya Rombo Mhe  Lembris Kipuyo na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wameshiriki kuteketeza pamoja na bidhaa mbali mbali zilizoisha muda wake ambazo zimekuwa zikiingizwa kupitia njia za panya. Mhe Makalla  ameagiza msako mkali ufanyike ili kuokoa maisha ya wananchi Zoezi la uteketezaji limefanyika kijiji cha Ubetu wilaya ya Rombo
 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wakiwasili kijiji cha Ubetu kushiriki kuteketeza viroba feki tani 3 
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla, Mkuu wa wilaya Rombo Mhe  Lembris Kipuyo na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wakishiriki kuteketeza viroba feki na bidhaa mbalimbali zilizosha muda wake katika kijiji cha Ubetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...