Sehemu ya viroba feki tani 3 ambavyo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla, Mkuu wa wilaya Rombo Mhe Lembris Kipuyo na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wameshiriki kuteketeza pamoja na bidhaa mbali mbali zilizoisha muda wake ambazo zimekuwa zikiingizwa kupitia njia za panya. Mhe Makalla ameagiza msako mkali ufanyike ili kuokoa maisha ya wananchi Zoezi la uteketezaji limefanyika kijiji cha Ubetu wilaya ya Rombo
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wakiwasili kijiji cha Ubetu kushiriki kuteketeza viroba feki tani 3
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla, Mkuu wa wilaya Rombo Mhe Lembris Kipuyo na mbunge wa Rombo Mhe. Joseph Selasini wakishiriki kuteketeza viroba feki na bidhaa mbalimbali zilizosha muda wake katika kijiji cha Ubetu





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...