Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa, Domician Mkama akigawa Fulana za Vodacom kwa wanafunzi wa Nganza Sekondari katika Tamasha la michezo la shule hiyo waalilolidhamini jijini Mwanza jan.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza, Christopher Gachuma akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nganza ya jijini Mwanza wakifatilia michezo iliyokuwa ikiendelea jana kwenye tamasha la michezo lililodhaminiwa na Vodacom lililofanyika katika uwanja wa shule hiyo. Picha na Lordrick Ngowi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...