Leo Jumatano tarehe 30 Machi 2016 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa chini ya Makamu Mwenyekiti Mh. Dkt. Pudenciana Kikwembe walipata fursa ya kutembelea ofisi za MKURABITA kwa ajili ya kujifunza juu ya madhumuni na shughuli za MKURABITA nchini.
 Katika ziara hiyo walipokelewa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi Mh. Angela Kairuki na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Bw. Peter Ilomo
Aidha walipokea taarifa fupi kuhusu MKURABITA na maendeleo ya shughuli za urasimishaji nchini yaliyotolewa na Mratibu wa Mpango. Bi. Seraphia Mgembe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...