DR. FRANCIS MW. MSELLEMU 
1941- 1996

Baba, Ni Miaka 20 sasa tangu uondoke hata bila ya kutuambia neno la KWAHERI! 
Maisha yetu hayajawahi kuwa rahisi bila uwepo wako, Baba.

Japo watu wanatuona tukicheka , hawajui ni kiasi gani mioyo yetu inahuzunika kwa kukukosa malezi, mapenzi na uwepo wako  wewe.

Hata hivyo tunamshukuru Mungu kwa kuendelea kutulinda, kututunza na kutubariki. Ameedelea kuwa  kweli kwetu Mume wa Mjane na Baba wa Yatima.
Tunakuombea Pumziko la Milele, na tukiamini kwamba siku moja tutakutana na tutaimba Halleluya pamoja na wewe.

Unakumbukwa daima na Mke wako Mpendwa Kodawa Mikaline Msellemu - ‘Mama K’ kama ulivyo kuwa umezoea kumuita, Watoto, Wakwe zako, pamoja na Wajukuu. Ndugu , Jamaa na Marafiki nao hawajakusahau.

Pumzika kwa Amani DAD!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Umevipiga vita vilivyo vizuri mwendo umeumaliza imani umeilinda. Pumzika kwa amani ya Bwana baba yangu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...