Home
Unlabelled
DC Kasesela atoa ya Moyoni kuhusiana na picha zake zinazosambazwa mitandaoni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wataje Wakuu wa Wilaya wenzako waliokulalamikia Kama si kampeni!
ReplyDeleteWatanzania hata uwafanyie nini wao kila kitu ni negative tuu,makonda katoa wazo la waalimu watu wanalalamika,tatizo shida zimetuzidi mpaka tunapagawa nafikiri
ReplyDeletehttp://bit.ly/loavideo2 "Tenda wema uende zako, usingoje shukurani". Jua halijiwakii lenyewe.Kila mtu ana kipai cha kuchangia jamii; kila mmoja akitafute chake akifanyie kazi. "If you live for people's acceptance, you will die from their rejection".Kuna kizazi chenye kuijua teknolojia zaidi kidogo kimeingia kazini tusitegemee U DC na U RC wa zama za marehemu Mzee Aron Mwakang'ata. Lazima ziwepo mbinu mpya za kazi kwa zama hizi. Ni aibu kwa gazeti lenye hadhi kama la Mwananchi kuingia kwenye michezo ya kukatisha tamaa na kuzomea bidii za DC mmoja tu. Kuna nini? Kuna nani? Kwa nini Mwananchi lisafanye tahmini ya viongozi wetu ma DC kwa mfano na siku zao 100 kwanza kwa mfano katika wilaya mbalimbali kama ilivyofanya kwa Mkuu wetu wa nchi badala ya kuandika idle speculation kama ilivyofanya Mwananchi kuhusu Kaasesela juzi? Kwa nini Mwananchi isifanye journalism iende Iringa iangalie toka amefika Iringa Kasesela amefanya nini objectively? Ukurasa ule wa picha na visentensi viwili 3 kuhusu Richard vilikuwa propaganda na siyo uandishi wa habari. hakukua na uchambuzi pale. Kazi za udaku siyo za Mwananchi Nawatakia ma DC wote na ma RC wote kazi njema na kutokatishwa tamaa na udaku. There will always be detractors. Tufanye kazi tusonge mbele na mafanikio tutayapata tu hata kama siyo kwenye U DC au U RC.
ReplyDeletePiga kazi DC wetu.Usijali maneno yao.Hata Mitume walisemwa.Wananchi tunakukubali.
ReplyDeleteMimi napenda style yake ya kuongoza kwa mifano, naomba na viongozi wengine tuige mfano huo wa mkuu huyu wa wilaya ya Iringa
ReplyDeletesijui watanzania tufanywe nini ili tubadilike mnaniudhi sana basi... chapa viboko kuna watu hawana kazi .. wanachojua ni kujadili tu watu
ReplyDelete