Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya TOTAL Tanzania, Tarik Moufaddal akizungumza wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa shindano la wajasialiamali hapa nchini ambapo washindi watatu bora wajasiliamali walikabidhiwa zawadi zao na kampuni ya TOTAL katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni thelathini na tano Mshindi wa Kwanza, Iddi Kalembowa pili kutoka kuliakatika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki  akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya TOTAL Tanzania na washindi wa shindano la wajasiliamali mara baada ya wajasiliamali hao kukabidhiwa zawadi zao katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...