Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa pili Rais Zanzibar Mh. Mohamed Abood awataka wazanzibari kuenzi na kulinda masuala ya muungano; https://youtu.be/EkOCxug-_6I  

Jumuiya ya wanataaluma wa chuo kikuu cha Dodoma wafanya kongamano la kuenzi muungano na kutaka wananchi wapewe elimu juu ya muungano;https://youtu.be/WH18ruW0ZIw  

Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais mazingira January Makamba awataka wananchi kutumia njia sahihi na za kisheria katika kuzungumzia na kutatua kero za muungano; https://youtu.be/hgTDl8JbX18  

Msikilize mchambuzi wa mambo ya kisiasa Sinza Godigodi akizungumzia kwa ufupi muungano wa Tanganyika na Zanzibar; https://youtu.be/clCCYhxlq_c  

Upanuzi wa barabara ya Makongoro hadi uwanja wa ndege wa Mwanza waanza ili kutekeleza agizo la Rais Magufuli la kupunguza tatizo la foleni jijini humo;https://youtu.be/vXkq5DVge5w  

Rais Magufuli amtumia salamu za rambirambi Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kufuatia kifo cha aliyekuwa mke wa Rais wa zamani wa nchi hiyo Mwai Kibaki;https://youtu.be/8vzeMBquDPo  

Timu za Yanga na Azam zinatarajiwa kushuka dimbani kuendelea kumalizia Viporo vyao hapo kesho jijini Dar es salaam; https://youtu.be/N0ZEfm66S1c

Chama cha soka mkoani Ruvuma FARU chajipanga kuongeza timu nyingine ligi kuu kutoka mkoani humo timu ya JKT Mlale; https://youtu.be/UrWUt98Pjp4   

Ligi ya mabingwa barani Ulaya kuendelea tena hii leo kwa kuzikutanisha timu za Manchester city ya Uingereza na Real Madrid ya Hispania;https://youtu.be/MRoi6uf4_PU  

Wanariadha nchini watakiwa kufanya mazoezi kwa ajili ya kujiweka fiti kwa afya zao na mashindano ya kimataifa; https://youtu.be/BP_SXMr3je4

Rais amevunja bodi ya mamlaka ya mawasiliano TCRA na kumsimamisha mkurugenzi wa mamlaka hiyo kwa kusababisha serikali hasara ya mabilioni ya fedha.https://youtu.be/4pHZx2E_Z0M

Baadhi ya wananchi mkoani Dar es Salaam wameunga mkono hatua ya Rais Magufuli kusitisha shamrashamra za muungano na kuelekeza fedha za shughuli hiyo kujenga barabara ya uwanja wa ndege jijini Mwanza. https://youtu.be/X1mAiQAvidY

Mhadhiri kutoka chuo kikuu cha Dodoma amesema kero zinazojitokeza kuhusu muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar zinatokana na kukosekana na utashi wa viongozi wanaosimamia muungano. https://youtu.be/b6sJ2nce0HU

Rais Dr. John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya elfu tatu kama sheria inavyomtaka huku msamaha huo ukiwahusu wafungwa wagonjwa, wazee na wanaonyonyesha.  https://youtu.be/jxUlIgEdoZ4

 Wananchi wa Liwale katika kijiji cha Ngunja licha ya kutofanyika kwa mikutano ya mapato na matumizi ya kijiji hicho wameelezwa kuwa wamekuwa wakikusanya mapato yao na kuyahifadhi kwa mwananchi; https://youtu.be/X1mAiQAvidY

Timu ya taifa taifa stars inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya kenya harambe stars mei 29 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo dhidi ya misri wa kufuzu fainali za mataifa ya Afrika. https://youtu.be/a1VEkqKj9co

Michuano ya mpira wa mikono imehitimisho leo ikikabiliwa na changamoto nyingi ikiwemobaaddhi ya timu kutokujitokeza na kubaki timu za majeshi tu kitu kilichofanya michuano hiyo kukosa mvuto.
Wafanyabiashara kutoka Urusi wanatarajiwa kuingia nchini kesho kuangalia fursa mbalimbali za uwekezaji nchini na kuimarisha uhusiano wa kiuchumi.https://youtu.be/xtsoDCHNGGk

Wafanyabishara na wananchi waishio eneo la Ubungo Extenal wamelalamikia chemba za maji machafu yanayotiririka kutoka mabweni yanayotumiwa na chuo kikuu cha dar es salaam (MABIBO HOSTEL). https://youtu.be/eFGe4KQcnD4

Mtu mmoja amekutwa ameuwawa kwa kupigwa na watu wasiojulikana katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. https://youtu.be/iMWhr1BF7fs

Serikali ya awamu ya nne inajivunia kuweka malengo ya kutekelezeka kwenye sekta ya elimu na kutatua changamoto nyingi za elimu. https://youtu.be/YcVZQ4quKnk

Umoja wa waganga na wakunga wa jadi kutoka Geita wilaya ya Nyang’wale wamesema elimu na juhudi waliotoa uongozi wa wilaya hiyo kuwa umepunguza mauaji ya vikongwe na albino. https://youtu.be/-MMuKsFGVgE

Amri ya kuwataka ombaomba kuondoka jijini Dar es Salaam imeonekana kupuuzwa baada ya kuonekana ombaomba wakiendelea kufanya kazi yao katika mitaa mbalimbali. https://youtu.be/qAQbTF4KZbM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...