SIMU.TV: Watu 10 wajeruhiwa baada ya basi la Bunda express lililokuwa likitoka Musoma kwenda Dodoma kupata ajali Manyoni ; https://youtu.be/FuY0QzgRRNw
SIMU.TV: Makamu wa rais Mh.Samia Suluhu amewataka wananchi kushirikiana na serikali ili kuwapatia malezi bora watoto wanaozaliwa na ugonjwa wa usonji ;https://youtu.be/g2bAkYurFPQ
SIMU.TV: Wakazi wa Siha wametakiwa kulinda vyanzo vya maji ili kuweza kutekeleza miradi ya maji katika wilaya hiyo; https://youtu.be/dcBWJdy6exc
SIMU.TV: Wataalam wa zao la pamba watoa elimu kwa wakulima juu ya changamoto zinazojitokeza katika kukabiliana na wadudu; https://youtu.be/dshx2Uh-1pA
SIMU.TV: Wakulima Ruvuma waiomba serikali kuongeza vituo vya ununuzi zao la mahindi ili kuwapunguzia wakulima garama za usafirishaji;https://youtu.be/MTM2ne49THU
SIMU.TV: Wakulima Dodoma wameshauriwa kufuata ushauri wa wataalam juu ya matumizi ya mbegu ili kuongeza uzalishaji wa mazao; https://youtu.be/UHlzmR-sEN0
SIMU.TV: Timu ya Serengeti boys leo imeiliza timu ya Misri baada ya kuipa kichapo cha goli 2-0 katika mechi iliyochezwa Dar es salaam; https://youtu.be/sQzMYYXjW-c
SIMU.TV: Mchezaji Uhuru Simba awashauri wachezaji wenzake kujituma wanapokuwa uwanjani kupitia klabu zao ili waweze kuonekana kimataifa; https://youtu.be/rFgF6mqQEuc
SIMU.TV: Ukosefu wa mabwawa yawa changamoto katika kukuza na kuendeleza mchezo wa kuogelea nchini;
SIMU.TV: Timu za Arsenal, Chelsea na Man City zashinda wapinzani wao katika mechi zilizochezwa leo katika ligi kuu ya Uingereza; https://youtu.be/tN_yhR_WsXM
SIMU.TV: Makocha wa timu ya Mtibwa Sugar pamoja na Mwadui watoa ya moyoni juu ya muenendo wa timu zao; https://youtu.be/bbcAnsUrsTI
SIMU.TV: Mbunge wa Tanga Mh.Musa Mbaruku aitaka serikali kupeleka vifaa vya upasuaji katika vituo vya afya ili kunusuru maisha ya wananchi;https://youtu.be/l21SK_lyeKQ
SIMU.TV: Serikali imetenga shilingi milioni 600 kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi ili kupisha ujenzi wa kiwanja cha ndege: https://youtu.be/LB1zB2gpEx8
SIMU.TV: Naibu waziri wa elimu Stella Manyanya amesema serikali itawachukulia hatua watakaowakosesha shule watoto wenye matatizo ya ubongo:https://youtu.be/BFHYuCKWwqs
SIMU.TV: Naibu spika Dkt. Tulia amesema nchi za Afrika zinatakiwa kujifunza jinsi nchi ya Tanzania inavyopambana na silaha za moto: https://youtu.be/Te4Rb6uBJn4
SIMU.TV: Waziri wa habari sanaa na michezo Mh.Nape Nnauye amesema serikali imejipanga katika kulinda haki za wahandishi wa habari nchini:https://youtu.be/xRcIVYI1yGc


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...