Kaimu Mkurugenzi wa  Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO), Mary Mtukula  akikabidhi msaada wa kibinadamu kwa Bingwa wa Magonjwa ya kinaMama wa Hospitali  ya Mwananyamala Dkt. Daniel Nkungu, leo jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospital  ya Mwananyamala Dkt.Delila Moshi akipokea masada wa kibinadamu kutoka kwa  Mkurugenzi wa Uendeshaji  Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka   (DAWASCO)  Shaban  Mkwanywa leo jijini Dar es Salaam.
Wafanya kazi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka   (DAWASCO) wakichukua baadhi wa vitu walivyoendanavyo kwaajili ya kupeleka katika odi za wagonjwa.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii).
                                                 KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...