
Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Mary Tesha akizungumza na wajumbe wa baraza la biashara wa Wilaya ya Buhigwe wakati akizindua baraza hilo.

Baadhi ya wajumbe wa baraza ka biashara wa Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, wakisikiliza mada kutoka kwa Meneja biashara wa Baraza la Taifa la biashara Willy Magehema(Hayupo pichani)wakati wa uzinduzi wa baraza hilo Wilayani Buhigwe

Meneja biashara wa Baraza la Taifa la biashara(TNBC) Willy Magehema akitoa mada juu ya uendeshwaji wa mabaraza ya biashara.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...