Kaimu Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana akizungumza wa maofisa katika idara hiyo, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam. 
Kaimu Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana akiwa katika picha ya pamoja na maofisa katika idara hiyo, baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam. Walioketi, kushoto ni Salehe Mhando na kulia ni Amos Siayantemi na waliosimama kutoka kushoto ni Lightness Shauri Habib Twahir, Margaret Mtui na Rajab Fondogoro. 
Kaimu Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana akifurahia jambo na Ofisa katika Idara hiyo, Amos Siyantemi, baada ya kuzungumza wa maofisa katika idara hiyo, kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...