Ajira ni application pekee ya simu ambayo inakutafutia mtumiaji kazi and inakwambia kwa kiwango gani umekidhi mahitaji ya  kazi iliotangazwa. Ajira imebuniwa hapa tanzania kwa watanzania, ni rahisi sana kutumia. Zahidi ya kukutafutia kazi mtumiaji, Ajira pia ina huduma ya mawasiliano yani messaging system ambayo inakuwezesha mtumiaji kuwasiliana na muajiri moja kwa moja kupitia application bila hata kuhitaji email au simu ya muajiri.
Ajira pia itakufahamisha kupitia simu yako kwa njia ya notification japo kazi ikitangazwa ambayo umekithi mahitaji yake.  Ajira inarushwa hewani Jumatatu ya tarehe 16 mwezi huu wa mei, lakini kabla hata ya kutangaza rasmi application yetu watu wengi tayari wanaitumia na pia watu zaidi ya elfu hamsini wanatufollow kwenye social media channel zetu.
Ajira inapatikana kwenye google play store kwa kuandia "Ajira Job" au kwa kupitia link ya hapa chini
Na pia unaweza kutembelea www.ajirascore.com
kupata maelezo zaidi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...