Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Utamaduni Bi. Lily
Beleko kutoka Wizara ya
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo akisisitiza jambo wakati alipokuwa
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya siku
ya Uanuwai wa Utamaduni yanayotarajia kufanyika
Mei 21 mwaka huu ,kulia ni Afisa Habari
wa Wizara hiyo Bw.Benjamini Sawe.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Utamaduni Bi. Lily Beleko kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na
Michezo akisikiliza swali kutoka kwa mwandishi wa habari (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza
na waandishi wa habari kuhusu
maadhimisho ya siku ya Uanuwai wa Utamaduni yanayotarajia kufanyika Mei 21 mwaka huu.
Picha na Eliphace Marwa - MEELEZO.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...