KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Van De Pluijm ametoa kikosi kitakachovaana na timu ya GD Esperanca mechi ya kombe la Shirikisho Afrika itakavaana majira ya 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Kikosi cha Yanga ni
1. Deogratius Munishi
2. Juma Abdul
3. Oscar Joshua
4. Vicente Bossou
5. Nadir Haroub
6. Mbuyu Twite
7. Simon Msuva
8. Thabani Kamusoko
9. Amisi Tambwe
10. Donald Ngoma
11. Haruna Niyonzima
Subs:
1. Ally Mustafa
2. Mwinyi Haji
3. Kelvin Yondani
4. Deus Kaseke
5. Geofrey Mwashiuya
6. Mateo Anthony
7. Paul Nonga.
MUNGU IBARIKI YANGA, MUNGU IBARIKI TANZANIA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...