Msanii Simon akichonga "Moyo" katika bustani ya hoteli ya Landmark mjini Tukuyu wilayani Rungwe Mkoani Mbeya. Ameiambia Globu ya Jamii kwamba kazi hiyo inampa tenda nyingi na ameweza kukimu gharama za maisha yake ya kila sikunbila wasiwasi. Zaidi ya "moyo" Simon anasem ana uwezo wa kutengeneza maumbo mbalimbali ikiwemo viti, meza na hata vitanda.
 Simon akiendelea na kazi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...